Natafuta Mwalimu wa Kozi ya Excel

Dodo86

Member
Oct 23, 2018
91
64
Habari wana Jamii..

Nilikua naulizia kama kuna mtu anamfahamu mwalimu wa Excel na tally tuwasiliane tafadhali.

0712220207
 
284f52d656ec4b1393b2b3a1db03f978.jpg
 
Mtoa Mada: mimi ni certified professional MS PACKAGE practitioner, pia nina experience na data analysis, Automation etc .. hasa kwa kutumia mifumo ya BM... etc..

SASA.

Hao walio tangulia kukutafuta kama hutoelewa au ukitaka mimi nikufundishe utanichek PM. Karibu sana..

NB: Mafunzo ni ONLINE only.. pia ni Interactive wewe na Mimi nachofanya, utakachofanya naona/tunaona.

Pia.. nina syllabus sifundishi kiholela..

Bei ni Buree siku ya KWANZA.. siku zilizobaki UTAAMUA wewe sasa unanilipaje...

Pia nitakupa OFA (Sitaitaja hapa..)

Ikumbukwe Excel inaendana na vikorombwezo vingine..

Karibu anytime.
 
Mawasiliano yako mkuu Gentlemen tafadhali

Mtoa Mada: mimi ni certified professional MS PACKAGE practitioner, pia nina experience na data analysis, Automation etc .. hasa kwa kutumia mifumo ya BM... etc..

SASA.

Hao walio tangulia kukutafuta kama hutoelewa au ukitaka mimi nikufundishe utanichek PM. Karibu sana..

NB: Mafunzo ni ONLINE only.. pia ni Interactive wewe na Mimi nachofanya, utakachofanya naona/tunaona.

Pia.. nina syllabus sifundishi kiholela..

Bei ni Buree siku ya KWANZA.. siku zilizobaki UTAAMUA wewe sasa unanilipaje...

Pia nitakupa OFA (Sitaitaja hapa..)

Ikumbukwe Excel inaendana na vikorombwezo vingine..

Karibu anytime.
 
Mimi hapa bado nahitaji ila gharama ziendane na maisha ya sasa,nisiwe fursa
Elimu ni gharama, kuhusu fursa hilo halipingiki ndio maana kukawepo na vyuo vya kufundisha computer applications baada ya kuona kuna uhitaji.
 
Mtoa Mada: mimi ni certified professional MS PACKAGE practitioner, pia nina experience na data analysis, Automation etc .. hasa kwa kutumia mifumo ya BM... etc..

SASA.

Hao walio tangulia kukutafuta kama hutoelewa au ukitaka mimi nikufundishe utanichek PM. Karibu sana..

NB: Mafunzo ni ONLINE only.. pia ni Interactive wewe na Mimi nachofanya, utakachofanya naona/tunaona.

Pia.. nina syllabus sifundishi kiholela..

Bei ni Buree siku ya KWANZA.. siku zilizobaki UTAAMUA wewe sasa unanilipaje...

Pia nitakupa OFA (Sitaitaja hapa..)

Ikumbukwe Excel inaendana na vikorombwezo vingine..

Karibu anytime.
Mkuu samani naitaji kujifunza data analysis nipatie number yako
 
Back
Top Bottom