Mkuu kwema, nina uwezo wa kukufundisha excel tu from beginner level mpaka professional. Upo wapi?Habari wana Jamii..
Nilikua naulizia kama kuna mtu anamfahamu mwalimu wa Excel na tally tuwasiliane tafadhali.
0712220207
Mkuu acha uzembe. Ingia youtube then search "excel tutorial for beginers" utajifunza mengi kuliko unachotaka fanya.Habari wana Jamii..
Nilikua naulizia kama kuna mtu anamfahamu mwalimu wa Excel na tally tuwasiliane tafadhali.
0712220207
Kakuwekea na namba ya sim bdo unauliza yupo wapi una akili kweli we jamaaMkuu kwema, nina uwezo wa kukufundisha excel tu from beginner level mpaka professional. Upo wapi?
Gharama ipoje?Mkuu kwema, nina uwezo wa kukufundisha excel tu from beginner level mpaka professional. Upo wapi?
Ila binadamu bhana eh. Huenda hana hela za mawazo.Mkuu acha uzembe. Ingia youtube then search "excel tutorial for beginers" utajifunza mengi kuliko unachotaka fanya.
NB: Hata huyo mwalimu naye kajifunzi youtube.
Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
Wasiliana na jamaa huyo anafanya program za kufundisha mambo ya ICT mtandaoni (Telegram)
Mtoa Mada: mimi ni certified professional MS PACKAGE practitioner, pia nina experience na data analysis, Automation etc .. hasa kwa kutumia mifumo ya BM... etc..
SASA.
Hao walio tangulia kukutafuta kama hutoelewa au ukitaka mimi nikufundishe utanichek PM. Karibu sana..
NB: Mafunzo ni ONLINE only.. pia ni Interactive wewe na Mimi nachofanya, utakachofanya naona/tunaona.
Pia.. nina syllabus sifundishi kiholela..
Bei ni Buree siku ya KWANZA.. siku zilizobaki UTAAMUA wewe sasa unanilipaje...
Pia nitakupa OFA (Sitaitaja hapa..)
Ikumbukwe Excel inaendana na vikorombwezo vingine..
Karibu anytime.
Unataka kujua nini haswa kwenye excel, maana ni pana sana?
Mimi hapa bado nahitaji ila gharama ziendane na maisha ya sasa,nisiwe fursaNashukuru kwa kunimention ndg, hii nimechelewa...wadau wameshatangulia nisiwabanie riziki
Elimu ni gharama, kuhusu fursa hilo halipingiki ndio maana kukawepo na vyuo vya kufundisha computer applications baada ya kuona kuna uhitaji.Mimi hapa bado nahitaji ila gharama ziendane na maisha ya sasa,nisiwe fursa
Namaanisha bei ya mafunzo iwe afordable mkuuElimu ni gharama, kuhusu fursa hilo halipingiki ndio maana kukawepo na vyuo vya kufundisha computer applications baada ya kuona kuna uhitaji.
Mkuu samani naitaji kujifunza data analysis nipatie number yakoMtoa Mada: mimi ni certified professional MS PACKAGE practitioner, pia nina experience na data analysis, Automation etc .. hasa kwa kutumia mifumo ya BM... etc..
SASA.
Hao walio tangulia kukutafuta kama hutoelewa au ukitaka mimi nikufundishe utanichek PM. Karibu sana..
NB: Mafunzo ni ONLINE only.. pia ni Interactive wewe na Mimi nachofanya, utakachofanya naona/tunaona.
Pia.. nina syllabus sifundishi kiholela..
Bei ni Buree siku ya KWANZA.. siku zilizobaki UTAAMUA wewe sasa unanilipaje...
Pia nitakupa OFA (Sitaitaja hapa..)
Ikumbukwe Excel inaendana na vikorombwezo vingine..
Karibu anytime.