Natafuta Mwalimu mtaalamu wa lugha ya kiingereza

Natafuta Mwalimu mtaalamu wa lugha ya kiingereza

The Wolf

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2013
Posts
9,453
Reaction score
20,857
Habari,

Kama title inavyojieleza ninatafuta mwalimu mtaalamu wa lugha ya kiingereza, ninatarajia kupata wageni wakorea, wanajua lugha ya kiingereza ila wanataka kuendelea kujifunza na kuweza kuzungumza na kuwasiliana vyema kwa lugha hiyo.

Wanatarajia kukaa hapa Dar es Salaam, na mwalimu ni bora awepo Dar es Salaam. Malipo mazuri yatatolewa.

Nitumie Private mawasiliano yako.

NB: Ninatafuta MWALIMU MTAALAMU wa lugha ya kiingereza
 
Habari,

Kama title inavyojieleza ninatafuta mwalimu mtaalamu wa lugha ya kiingereza, ninatarajia kupata wageni wakorea, wanajua lugha ya kiingereza ila wanataka kuendelea kujifunza na kuweza kuzungumza na kuwasiliana vyema kwa lugha hiyo.

Wanatarajia kukaa hapa Dar es Salaam, na mwalimu ni bora awepo Dar es Salaam. Malipo mazuri yatatolewa.

Nitumie Private mawasiliano yako.

NB: Ninatafuta MWALIMU MTAALAMU wa lugha ya kiingereza
Ngoja waje watema yai mkuu
 
Habari,

Kama title inavyojieleza ninatafuta mwalimu mtaalamu wa lugha ya kiingereza, ninatarajia kupata wageni wakorea, wanajua lugha ya kiingereza ila wanataka kuendelea kujifunza na kuweza kuzungumza na kuwasiliana vyema kwa lugha hiyo.

Wanatarajia kukaa hapa Dar es Salaam, na mwalimu ni bora awepo Dar es Salaam. Malipo mazuri yatatolewa.

Nitumie Private mawasiliano yako.

NB: Ninatafuta MWALIMU MTAALAMU wa lugha ya kiingereza
Ilikuwa ni fursa nzuri kwangu kutengeneza pesa .... tatizo siko Dar
 
Mm sio mwalimu ila ninaijua vizuri lugha hiyo kifasaha kabisa
 
Kama unaTania shaur yako mm ni mwalimu na lugha hiyo nimejifunza uingeleza miaka 2
 
Back
Top Bottom