SOWETO_MAN
Member
- May 4, 2021
- 69
- 32
Habarini za muda huu wana jukwaa...natafuta mtu anae uza mayai ya kienyeji kwa bei ya jumla Dodoma tufanye biashara!
Trey unanunua kwa bei gani mkuu?Habarini za muda huu wana jukwaa...natafuta mtu anae uza mayai ya kienyeji kwa bei ya jumla Dodoma tufanye biashara!
6000 kwa trei mkuuTrey unanunua kwa bei gani mkuu?
Hii ni endelevuUnahitaji kiasi gani kwa siku, na ni biashara endelevu au ya muda?
Nikiweza pata walau trei 3 mpaka tano kwa siku si mbaya..Unahitaji kiasi gani kwa siku, na ni biashara endelevu au ya muda?
Bei ndo hujaniambia boss, nimekupmNikiweza pata walau trei 3 mpaka tano kwa siku si mbaya..
Ahsante.. kwa hiyo bei huwezi kupata mkuu6000 kwa trei mkuu
Vijijin kwenyewe yai wanauza 250 mpaka 3006000 kwa trei mkuu
Hata kwa hii 250 sawa tu bossVijijin kwenyewe yai wanauza 250 mpaka 300
Kulikuwa hamna haja ya kejeli mkuu,,,,hii ni biashara kuna maelewano mbona?Matapeli yanakuja vijijini baada ya Mambo kubana mjini .. Yani 200????
By the way nimesema kwa 200 ni kutoka kwa mkulima kabsa na si mtu wa kati kama kuna mtu wa kati basi kwa hyo 200 haiwezekani...nalijua hilo!Matapeli yanakuja vijijini baada ya Mambo kubana mjini .. Yani 200????
Hapana mzee hiyo inakua sio biashara Tena Bali ni unyonyaji na utapeli kwa ndugu zetu huko vijijini,, hii nchi ni yetu site,, usipende kunyanyasa wenzako kisa Wana shida au hawana ujuzi wa Jambo..Kulikuwa hamna haja ya kejeli mkuu,,,,hii ni biashara kuna maelewano mbona?
Mimi sio kwamba nimesema ni hyo 200 tu si nimetoa option kabsa hata 250 au 300?Hapana mzee hiyo inakua sio biashara Tena Bali ni unyonyaji na utapeli kwa ndugu zetu huko vijijini,, hii nchi ni yetu site,, usipende kunyanyasa wenzako kisa Wana shida au hawana ujuzi wa Jambo..
Ndio lengo hasa la kusema bei ya jumla!Hapana mzee hiyo inakua sio biashara Tena Bali ni unyonyaji na utapeli kwa ndugu zetu huko vijijini,, hii nchi ni yetu site,, usipende kunyanyasa wenzako kisa Wana shida au hawana ujuzi wa Jambo..