Habari za Jioni
Naomba kama kuna mtu anajua muombeaji/waombeaji wenye karama ya kutoa mapepo maeneo ya Mafinga. Ndugu yangu anpetwa kichaa mwaka wa kumi sasa na hospital imeshindikana. Mimi nipo Mufindi Iringa.
Habari za Jioni
Naomba kama kuna mtu anajua muombeaji/waombeaji wenye karama ya kutoa mapepo maeneo ya Mafinga. Ndugu yangu anpetwa kichaa mwaka wa kumi sasa na hospital imeshindikana. Mimi nipo Mufindi Iringa.
Kuna mchungaji hapo mafinga anaitwa Mchungaji Chuma wa TAG. Kanisa lake liko kule chini karibu na kanisa la Lutheran mtafute huyo. Nyumbani kwake ni kwe ile nyumba ya mbunge wa zamani Malangalila
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.