Natafuta mume

Washamba ni wengi sana unaweza kwenda shule na bado ujinga usikutoke ujinga hauna dawa ?? Mke ni hekma busara subira udilifu sio elimu

Mkuu,
Minaona jf ya sasa imejaa vitoto tupu, vinashinda vina hara tu humu kwenye majukwaa aiseee....
 
Hapana, hakuna tatizo comment yako.
Kuna shida aliekejeli kuhuliza elimu.
Mtu akiona hana vigezo anatoa comments ofyo
 
unaweza kufikiria upya hicho kigezo cha umri?yaani chini ya hapo?
 
ila ww wenzako cku hizi hawaangalii umri wanaangalia pesa
 
hivi umeelewa uzi vizuri? anatafuta mume na si kazi

Jamani Mimi nikiwa na Stress tu nakimbilia Kusoma humu nii full raha...jamani..basi tuwe waelewa wenzetu wanataka ninii..tusikimbiliee kucoment tu
 
Miaka 32?alafu una mtoto?
It is too much used lo!!!
 
nakushauri kupeleka maombi haya kwenye nyumba za Ibada kama vile misikitini na makanisani, yapeleke kupitia kwa viongozi w nyumba hizo. kwanza wao watakushauri mambo mema na mazuri namwinshowe kabisa wanaweza kukutafutia mtu unayeendana na naye. Huku dadangu hawana tofauti na yule mlioaachana, na wanaweza kuwa ovyo kuliko uliyemuacha.Fanya maombi ya kutosha ili Mungu akuongoze uweze kupata Mume bora na mcha mungu.
 

...kwa research gani ulioifanya hadi unakuja na conclusion ya hovyo kiasi hiki?
 

Inaonekana umeshafanya research ya kutosha na member wote humu unatujua mkuu
 

Acha kutuharibia wewe
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…