Natafuta mume

Natafuta mume

Unatumia kinywaji gani? Kwanza tuanzie hapo.
 
Mambo siku hizi yanabadilika sana!, watu wadharau jinsi mwanaJF alivyointroduce kiu yake! kwa kuwa hii JF pia ina connect watu, aweza kupata mchumba mzuri, kwani wangapi wanakutana bar, kwenye ndege, msituni, kjjni n.k na wakaoana! je ni wangapi wameletewa na baba zao au mama zao na ndoa ikadumu ama ikavunjika? let be serious! kama anatafuta mchumba usibeze!
 
Nitumie picha kwenye whatsapp yangu kama uko tayari nikupe au unaweza kunitumia pm
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom