Natafuta mume


Tuwasiliane ! !
 
Mmh jamani kama huyo mume kapatikana sio mbaya ukituwka wazi. Mana ni siku mingi sasa tangu hii thread iko kwa hewa
 

Trust me hakuna njia sahihi ya kutafuta mume au mke so don't act like you are that perfect mamito
let her try her way n we must respect that
 
 
naomba unipiem tuwaciliane mami wangu mimi nipo tayari plz naomba namba ya cimu 2ongee ok?
 
 
Hahahahaaa, nimecheka sana, haka kajukwaa kumbe kana vichekesho eeh?!! nyie wageni msiomjua boflo mtaingia mkenge, ni dume huyo, jamaa yetu ni gay na hana noma na hilo sasa nyie mnaoshobokea kila post ya mwanamke hapa mkikutana na kidume msishangae, na ni baunsa ukishindwa kusimamisha usishangae akkakukamata wewe...lol!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…