Natafuta Mume

Natafuta Mume

Usilete utani kwenye mambo ya maisha,dini yoyote ile ukotayari subiri nijipange
 
Nimechoka na maisha ya upweke natafuta mpenzi kisha tukielewana tuwe mke na mume.

nina miaka 28 naishi Dar maeneo ya mbezi beach . kwa aliye serious naomba tuwasiliane namba 0718810898
Eleza sifa ulizonazo watu wavutike
1.Una muda gani tangu uvunje ungo?
2.Unayo Bikra?
3.Kwanini kwa umri ulionao hujaolewa hadi leo?
Majibu Tafadhali
 
Dada na Mpwa wangu mi nakuombea kwa MUNGu akutimizei haja ya moyo wako, nimeoa ila ningekua sijaoa ningekutafuta na hakika roho yako ingefurahi. Uwe na moyo mkuu utashinda, utampata Mwenzi wa roho yako, umri wala elimu sio tatizo kikubwa ni je wewe ni fighter wa maisha? Ukifanikiwa unijulishe hata kwa PM nitashukuru sana
 
eleza sifa ulizonazo watu wavutike
1.una muda gani tangu uvunje ungo?
2.unayo bikra?
3.kwanini kwa umri ulionao hujaolewa hadi leo?
Majibu tafadhali
ameweka mpaka namba ya simu si umtafute muongee private
 
Nataman kuoa lkn kwa sasa biashara yangu imecease na sasa nina bahasha mkononi naenda interview nikipata nitakuchek
 
Bandiko lako kama vile unatania, mwaga sifa zako zaidi
 
nimechoka na maisha ya upweke natafuta mpenzi kisha tukielewana tuwe mke na mume.

Nina miaka 28 naishi dar maeneo ya mbezi beach . Kwa aliye serious naomba tuwasiliane namba 0718810898

all the best sister ila uwe makini na mijitu ya humu.
 
kuonja inaruhusiwa kabla sijafanya uamuzi wa kuchukua jumla?naogopa tu nisije nikauziwa mbuzi kwenye gunia
 
Nimechoka na maisha ya upweke natafuta mpenzi kisha tukielewana tuwe mke na mume.

nina miaka 28 naishi Dar maeneo ya mbezi beach . kwa aliye serious naomba tuwasiliane namba 0718810898

hebu ni pm kama uko serious.
 
Nimechoka na maisha ya upweke natafuta mpenzi kisha tukielewana tuwe mke na mume.

nina miaka 28 naishi Dar maeneo ya mbezi beach . kwa aliye serious naomba tuwasiliane namba 0718810898

Maelezo yako kama ni ya mzaha vile, kusema una miaka 28 unaishi Mbezi haitoshi bhana, hebu tupatie majibu ya yafuatayo:
1. Kipato chako
2. Elimu yako
3. Dini na kabila lako
4. Huyo unayemtaka huhijaji awe na vigezo? Otherwise weka vigezo au uko tayari kumpata bibi kizee??

Tuanzie hapo then tusonge mbele...
 
Nimechoka na maisha ya upweke natafuta mpenzi kisha tukielewana tuwe mke na mume.

nina miaka 28 naishi Dar maeneo ya mbezi beach . kwa aliye serious naomba tuwasiliane namba 0718810898

inbox me
 
Nimechoka na maisha ya upweke natafuta mpenzi kisha tukielewana tuwe mke na mume.

nina miaka 28 naishi Dar maeneo ya mbezi beach . kwa aliye serious naomba tuwasiliane namba 0718810898

Mi natafuta mke, kama uko serious ni-pm uweke na picha yako kabisaaaaa!!!!!!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom