Natafuta mume

Salama Jay

Senior Member
Joined
Oct 24, 2013
Posts
131
Reaction score
68
Jamani am tied of being with men ambao hawajui wanataka nini in life I need a serious man.

Am 23.

Mhaya na ni mnene kidesign.

Shepu ya kihaya to be precise.

Ni mweusi na sio mrefu wala mfupi size ya kati.

Imight not be educated kihvyo but am intelligent n know how to treat my man.

Kazi kwenu serious men.

PM me
 

ni pm na wewe as soon as u can au kwenye e mail yangu au fb
 
Umemwaga sifa zako japo hujasema unahitaji / uhitaji wako ni mtu wa aina gan
 
I nid a tall man mweupe au maji ya kunde..,awe mwaminifu,anayejali na hapendi uongo kama mim coz nachukia lies kwakweli..awe outgoing,smart and responsible..
 
na mie nataka mke lakini asiyependa kiswanglish anayethamini lugha ya Taifa
 
Kwa Vigezo vyako huenda ukaambulia Masharobaro kinyume na hapo kumpata mwanaume mwenye sifa zote kwenye mtandao ni ndoto ya mchana
 

Wishing you all the best
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…