Natafuta mume

Jamani kama kichwa habari kinavyojieleza,

Ni mara pili sasa natafuta mume na sio mchumba.Umri 30+ awe mkristo na pia elimu ya kati awe mrefu mwenye upendo na mapenzi ya dhati. Mimi ni mkristo nina elimu ya kutosha kujitambua, mwajiriwa wa serikali umri wangu 30+.
Ni kipm Nalea hujib why?
 
Jamani kama kichwa habari kinavyojieleza,

Ni mara pili sasa natafuta mume na sio mchumba.Umri 30+ awe mkristo na pia elimu ya kati awe mrefu mwenye upendo na mapenzi ya dhati. Mimi ni mkristo nina elimu ya kutosha kujitambua, mwajiriwa wa serikali umri wangu 30+.
Bahati yangu Hii!!! Ngoja nije tuyajenge
 
Jamani kama kichwa habari kinavyojieleza,

Ni mara pili sasa natafuta mume na sio mchumba.Umri 30+ awe mkristo na pia elimu ya kati awe mrefu mwenye upendo na mapenzi ya dhati. Mimi ni mkristo nina elimu ya kutosha kujitambua, mwajiriwa wa serikali umri wangu 30+.
Dada jaribu kuhudhuria ndoa uone wanaoa siku hizi wanavigezo gani kwanza? Sikujui lakini nikwambie kuna washichana uliowazidi miaka zaidi ya kumi kwa huo tu ulioutaja hapo. Wanaolewa na wakaka wafupi tuu au medium size. Hao warefu angalia utawasuburi sana. Lakini kama ni lengo lako la maisha subiri litimie.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom