rashidiiddi
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 224
- 117
Nipo 0769011515
Ni pm plzJamani kama kichwa habari kinavyojieleza,
Ni mara pili sasa natafuta mume na sio mchumba.Umri 30+ awe mkristo na pia elimu ya kati awe mrefu mwenye upendo na mapenzi ya dhati. Mimi ni mkristo nina elimu ya kutosha kujitambua, mwajiriwa wa serikali umri wangu 30+.
Haya kila la kheri na vigezo na masharti kuzingatiwa...Jamani kama kichwa habari kinavyojieleza,
Ni mara pili sasa natafuta mume na sio mchumba.Umri 30+ awe mkristo na pia elimu ya kati awe mrefu mwenye upendo na mapenzi ya dhati. Mimi ni mkristo nina elimu ya kutosha kujitambua, mwajiriwa wa serikali umri wangu 30+.
Elvee we tayari nini ?Kila jema mama
Uje PM pleaseId mpya zinakwenda kujaa pm



Acha njaa utakuja kufa kizembe mkuu.Nipo 0769011515
Ulikuwa wapi kwani haujawahi kuwa na mchumba mlikuwa mnafikia wapi au walikuwa wanatangaza nia ya kuoa wewe ukawa bado ukawa unakula ujana
kala ujana hadi kachill