Natafuta mume

Mhh mi nahitaji mwanamke wa kumuoa lkn wanawake na hata wanaume wanaojifanya au kujiona ni wacha Mungu saana huwa wana mabaya mengi saana so toooo religious is not good as they always seem to be standing behind the curtains mhhhh DINI IKIWA NI KIGEZO NI NOMAAA
 
MTU wa baa ataoa baa medy msanii ataoa msanii mwenzake na Mtumishi wa Mungu ataoa Mtumishi wa MUNGU.....kwa kuwa umemtanguliza MUNGU nikuulize je MUNGU amekuambia kuwa mume wako utampata hapaJF au utampata kwa njia hii ya matangazo. Shika hii itakusaidia MUNGU alisema nitamfanyia msaidiz anayefanana naye....hivyo huku kufanana sio kimaumbile tu kama kuwa na miguu kichwa no nono Bali hata kitabia hivyo ukiwa na Tabia za kuwa na hofu na MUNGU na kumcha basi ujue mumeo utamuona kanisani au ukiwa na Tabia ya uongo basi huko ndiko utamuona mumeo na kama unatabia ya kunywa basi kamsubiri mumeo baaa kinyume cha hapa mpka MUNGU aseme na we we mazingira gani mumeo utamuona. Hivyo kabla hujachukua hatua hii UWE na UHAKIKA kuwa MUNGU amekueleza uchukue hatua hii kinyume cha hapa jichunge usije ukajuta na hamu ya kuolewa ikafa
 
wanawake km wewe mnakuaga mna roho mbaya, mnajifanya mmeokoka kuficha maovu hamfai kuolewa, endelea kukesha/kushinda kanisani umsifu yesu!
 
Wenye elimu ndogo wanakubalika walio okoka?
 
Huko kwenye ulokole ulikokimbilia kama na kwenyewe hujapata mume basi sahau
 
Tatizo wewe unampenda yesu,huwezi kupata mtu humu,nyie mliookoka wasumbufu sana,kuna jamaa alioa mke alieokoka akawa ananyimwa kukonga nyoyo,mkewe alikua anamwambia bwana kakataza mambo haya.
 
 
Yaani umekosa wanaume wote hao waliopo kanisani kwenu uko kweli? ?
 
Sometimes sisi tunahitaji partner katika life
 
Jamani nyie walokole wa mwendokasi mume hatafutwi huku!Muombe Mungu akufunulie akuoneshe mume,au hamjui kuomba?!mi inanikera mtu kujifanya mlokole halafu eti anakuja kutafuta mume huku,au umeomba Mungu umechoka kusubiri?!Mungu anajibu maombi kwa wakati wake muafaka sio kwa wkt wak😵mba kwa imani na uwe tayari kusubiri hata ikipita miaka 10
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…