napenda watu wenye kumbukumbu kama nyie!!taratibu ataishiwa nguvu....hiyo break aliyojipa ya miaka 3 alijua tumemsahau......saafi kwa kumbukumbu nzuri,hajatupa mrejesho wa miaka mitatu iliyopita leo hii anatafuta mume mwingine!!WANAUME WA DAR MUOGOPE HILI
Mimi ni mwanamke wa miaka 28, nina mtoto, ni mwajiriwa natafuta mwanaume wa maisha yangu awe mkristo miaka 30-36, mwenye ajira, mwenye hofu ya Mungu.Nimechoka kuumizwa.
Mimi ni mwanamke wa miaka 28, nina mtoto, ni mwajiriwa natafuta mwanaume wa maisha yangu awe mkristo miaka 30-36, mwenye ajira, mwenye hofu ya Mungu.Nimechoka kuumizwa.