Natafuta mume wa kunioa

Natafuta mume wa kunioa

Unatafuta mume??!!! POLICE ushawataarifu ?
 
Utasubiri mpaka ukawa uchukue nchi labda maisha ya waowaji yatakuwa rahisi. Yote hata ni ccm inawafanya waowaji kuogopa maisha magumu. Pigia kura ukawa utaolewa tu wala usikwende kwa Mganga.
 
Mwanaume mwaminifu mwenye umri kuanzia miaka 36-40.

Awe anajituma katika maendeleo, aliye tayari nitumie msg namba 0769741349.
mtaani kwenu koote haujawaona??au hawakutaki maana hadi kufikia hatua hii inaonyesha mtaani soko hauna kabisa..Kizuri chajiuza,kibaya chajitembeza..
 
Mhh napita tu maana umri uloutaja ni umri wangu ila nahis kama washawah
 
ADVICE

Hivi we dada nguvu za kutafuta mwanaume tena wa kukuoa JF unazipata wapi???!??....humu ni kuelimishana, kuburudika, na free stress zone, baaas!!
 
Km niliona thread ya mtu anatafuta mkee umrii huoo 45 haya mfate mkamalizanee hukoo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom