Hapo kwenye sifa za unayemtafuta naomba ubadilishe isomeke "AWE HAJAWAHI KUKUTANA NA MWANAMKE" na wewe uwe hujawahi kukutana na mwanamume,kutokuoa au kutokuolewa nadhani siyo vigezo muhimu kwa sababu wengi hatujaoa wala kuolewa lakini tumeshafanya mapenzi mpaka sasa tunaona expire date ina-indicate ndiyo tunashtuka,kama una hivyo vigezo ni-PM ASAP.
Najua value yangu Mkuu.Na kwa mwanaume mwenye uelewa mpana ataangalia vigezo vya mwanamke zaidi ya umri.Nimetumia lugha nyepesi ili nisikukwaze.Ukiisoma vizuri utajua na maanisha nini.
Kesha puyanga sana mleta mada. Na yaelekea age yake ni 31 and above. Mpaka masters umeliwa na wangap? Primary 2, o leval 3, a leval 4, bachelor deg 5, masters 2 jumla 16