Natafuta mume wa kunioa

Natafuta mume wa kunioa

Awe na hela ya kukimu mahitaji yangu Bali Mimi I will be a submissive wife
Nina miaka 22 Mimi ni mwana mitindo natoka Kenya ninahitaji mapenzi ya kweli nanipo serious


Kama Kuna yoyote anaitaji mahusiano yakudumu mpaka ndoa naomba uje PM tafadhali tuyajenge
Hebu kwanza wape somo la maana ya mwanamke kuwa ''submissive'' kwa sababu wanawake wabongo wengi hili ni jambo geni. Mwanamke bila kuwa ''submissive'' kwa mwanaume basi ndoa haidumu. Na ukiwa submissive unaweza kumfanya mumeo awe kama amelishwa limbwata.
 
Awe na hela ya kukimu mahitaji yangu Bali Mimi I will be a submissive wife
Nina miaka 22 Mimi ni mwana mitindo natoka Kenya ninahitaji mapenzi ya kweli nanipo serious


Kama Kuna yoyote anaitaji mahusiano yakudumu mpaka ndoa naomba uje PM tafadhali tuyajenge
Uandishi wa kisw cha tz huu. All the best
 
Awe na hela ya kukimu mahitaji yangu Bali Mimi I will be a submissive wife
Nina miaka 22 Mimi ni mwana mitindo natoka Kenya ninahitaji mapenzi ya kweli nanipo serious


Kama Kuna yoyote anaitaji mahusiano yakudumu mpaka ndoa naomba uje PM tafadhali tuyajenge

nyie wakenya nasikiaga ni wababe sana.mnatesa sana wanaume
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom