Kandele ni PM tuongee zaidiHabari za humu wapendwa.
Ni mwanamke mwenye 30yrs, nina degree ya kwanza na nimeajiriwa naishi dsm, mwili size ya kati. Natafuta mwanaume ambaye M'Mungu akijaalia awe mume wangu.
Sifa za mwanaume:-
1. Awe Muislam, mwenye hofu ya Mungu
2. Kabila lolote
3. Mwenye kujitambua na aliye tayari kusettle na kujenga maisha pamoja
4. Mwenye kujua thamani ya mwanamke, na mwenye heshima kwa wanawake
5. Awe anajishughulisha kujiingizia kipato
6. Umri 30-40
NB: nipo serious kwa aliye tayari pls pm me for other details including my history, naomba jokes pembeni guys maana mnaweza kunikatisha tamaa pls.
Alive tayari tuwasiliane kwa mndele85@gmail.com
every conversation will b strictly confidential.
Asanteni.
Habari za humu wapendwa.
Ni mwanamke mwenye 30yrs, nina degree ya kwanza na nimeajiriwa naishi dsm, mwili size ya kati. Natafuta mwanaume ambaye M'Mungu akijaalia awe mume wangu.
Sifa za mwanaume:-
1. Awe Muislam, mwenye hofu ya Mungu
2. Kabila lolote
3. Mwenye kujitambua na aliye tayari kusettle na kujenga maisha pamoja
4. Mwenye kujua thamani ya mwanamke, na mwenye heshima kwa wanawake
5. Awe anajishughulisha kujiingizia kipato
6. Umri 30-40
NB: nipo serious kwa aliye tayari pls pm me for other details including my history, naomba jokes pembeni guys maana mnaweza kunikatisha tamaa pls.
Alive tayari tuwasiliane kwa mndele85@gmail.com
every conversation will b strictly confidential.
Asanteni.
Dah!samahan km ntakuwa nimekukosea ndg...ila ingekuwa amri yng watu km ww nisengependa muwepo humu jf.. Kwn ww ni mpumbavu wa kwnzaUnanyapu kavu au swimingpool ?
We talk about 33 years old woman.
Nitex pm tubongeWe talk about 33 years old woman.
Nani kasemaHata umri wa kuzaa umepita
Nani kasema
Unamaanisha kwelU'positive unakutisha vp mkuu? It's just a name na kiukweli huwa sipanick in whatever situation, naamini ku'deal na issue zote kwa utulivu and mostly nipo na positive mind when comes to dealing wth any situation
Vuta subira mungu atakupa mwenyevigezo unavyo taka kikubwa vuta subira na muombe mungu sana maana tumeambiwa innallah maaswabirina30yrs!;Wewe ushazeeka tayari.Uliibania mno;Halafu hiyo ya kubagua dini ndio kabisaaa ishakukosesha Mme coz mwanamke hana dini ni wa wote.
Wewe ni muongo.Naamini kwenye ndoa, Na ndio maana at that age nimekua na mahusiano na mtu mmoja tu na ambaye tulikua kwenye mipango ya kuja kuishi pamoja. Bahati mbaya yametokea yalotokea ndio hivyo tena. Sasa Hata kama nitapata mtu hapa ajue lengo ninini. Sina haja ya just kusleep around then mnamwagana, magonjwa mengi
Uko tayari kuwa mke wa pili? Maana hapo dini inaruhusu.Habari za humu wapendwa.
Ni mwanamke mwenye 30yrs, nina degree ya kwanza na nimeajiriwa naishi dsm, mwili size ya kati. Natafuta mwanaume ambaye M'Mungu akijaalia awe mume wangu.
Sifa za mwanaume:-
1. Awe Muislam, mwenye hofu ya Mungu
2. Kabila lolote
3. Mwenye kujitambua na aliye tayari kusettle na kujenga maisha pamoja
4. Mwenye kujua thamani ya mwanamke, na mwenye heshima kwa wanawake
5. Awe anajishughulisha kujiingizia kipato
6. Umri 30-40
NB: nipo serious kwa aliye tayari pls pm me for other details including my history, naomba jokes pembeni guys maana mnaweza kunikatisha tamaa pls.
Alive tayari tuwasiliane kwa mndele85@gmail.com
every conversation will b strictly confidential.
Asanteni.