kwa huo umri wa unaemtaka huwezi kumpata aliyecheza akachoka. MTU aliyecheza akachoka ni kuanzia miaka 97 na kuendelea

Hapo mimi sikufai kabisa wala sikutaniiNi binti mwenye umri wa miaka 25 natafuta mwanaume mwenye mapenzi ya dhati
sifa zangu
sina mtoto
sijawai olewa
nimewai kuwa na mahusiano
elimu kidato cha nne
sio mnene wala sio mwembamba
rangi ya kati
mjasiriamali
sifa za ninae mtaka
awe ameumizwa
maji ya kunde
umri 28 kuendeea
awe kacheza kachoka hana tamaa
awe anajituma na apende ujasiliamali
awe anajua kubembelezaa sio unakua na mtu utafikili mpo ccp mosh au jkt
NB naomba awe na mapenzi ya kweli mchapa kazi na awe na sauti ya kubembeleza
Mmmm hili li askari hiliNi binti mwenye umri wa miaka 25 natafuta mwanaume mwenye mapenzi ya dhati
sifa zangu
sina mtoto
sijawai olewa
nimewai kuwa na mahusiano
elimu kidato cha nne
sio mnene wala sio mwembamba
rangi ya kati
mjasiriamali
sifa za ninae mtaka
awe ameumizwa
maji ya kunde
umri 28 kuendeea
awe kacheza kachoka hana tamaa
awe anajituma na apende ujasiliamali
awe anajua kubembelezaa sio unakua na mtu utafikili mpo ccp mosh au jkt
NB naomba awe na mapenzi ya kweli mchapa kazi na awe na sauti ya kubembeleza
MWALIM WA KOROMIJEMimadota, I'm waiting for u. Nmeacha kila kitu nikisubl uni pm. I'm so serious. Can I keep on waiting?
si mchezokwa huo umri wa unaemtaka huwezi kumpata aliyecheza akachoka. MTU aliyecheza akachoka ni kuanzia miaka 97 na kuendelea

Wewe hutafuti?Daaa! Mie wa kike ... All the best
Swali zuri sana. .Najua hujawai kuolewa wala kuzaa, lakini je umetoa mimba mara ngapi?