Natafuta mume, kwa yeyote aliye serious aje

Una mdogo mchafu sana wewe, hata mimi ningekuacha, unahaki kua single mother
 
Kaka chukua jiko ilo.
Kaka soma vizuri andiko anataka aliye serious nami siko serious...

Mapenzi yanachanua yenyewe, tuanze hivi hivi kiutani utani, userious utakuja automatikali.

Kama yupo tayari tuanze kiutani utani mie sina shida.
😂🤣
 
Kaka soma vizuri andiko anataka aliye serious nami siko serious...

Mapenzi yanachanua yenyewe, tuanze hivi hivi kiutani utani, userious utakuja automatikali.

Kama yupo tayari tuanze kiutani utani mie sina shida.
😂🤣
Nyie mnaoanza kiutani utani, ndio mnakimbiaga watoto.

Ingia na full gear. 220 km/h 😅😅
 
220 km/h halafu chuma ikavamie mnazi, hatoki mtu hapo. 😂🤣

Tuanze mdogo mdogo kwanza
Trust your air bag chief. Lazima utoke salama 😅😅😅

Muda wa kuanza mdogo mdogo umeshapita. Now ni mwendo wa ngiri tu
 
Tafuta kanisa la kilokole lolote anza kusali na jiunge kwaya. Na kuhakikisha Kelvin (mpiga kinanda) atakupenda sana na kutaka kukuoa.
 
Trust your air bag chief. Lazima utoke salama 😅😅😅

Muda wa kuanza mdogo mdogo umeshapita. Now ni mwendo wa ngiri tu
Airbag yenyewe haichelewi kukusaliti, kukuvunja mbavu etc.
Mwendo wa ngiri mkia juu haoana kwa kweli twende na mwendo wa kinyonga.
😂🤣
 
Vigezo
Awe na 38-45
Dini yoyote
Awe na shughuli nipo serious nimechoka kukaa single aliyeserious aje pm

Mimi
Umri 30
Ninajishughulisha
Nina mtoto
Naishi Dar
Mengine tutaaambizana
Hapo unatafuta wanaume wanne tofauti. Kaa chini tena udraft tangazo upya.
Anyway usiingie kwenye ndoa kwa kujaribu....hizo ni pingu za maisha.
 
Kwamba bila ndoa unakufa upumui tena mkuu
Kwahiyo soon nakufa
Pole nimekuonea huruma , sanaaa usijali nicheki pm niwe rafiki mm ni mdogo kwako,ilà vigezo ninavyo vyote na zaidi, si ndoa bali kuwa mshikaji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom