Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 10,100
- 8,213
All the best dear.
nicheki humu josephkevela@gmail.com nakutafuta pia
ipo sawa josephkevela@gmail.comE mail yko sio ya kweli nimekufata pm
Ingia pm tuchat vztMbona inagoma
Kama ni kweli hongera sana,ni watu wachache sana wana moyo kama wako.Mungu atakupa heri.Naelewa sana ilo kaka.. lkn kwa upande wangu hapana, nataka mwenye hali kama yangu, wapo negative hata nikiwaambia mimi nipo hivi wanakubali tu ila mimi moyoni hapana... naogopa dhambi ya kujua hali yangu hlf nikamfanya mwingine akawa kama mimi bila hatia sababu ya mapenzi.