Natafuta mume 45-55

Natafuta mume 45-55

njoo nikuliwaze ila niko na mwenzako pia,miaka usijali sana iko pungufu ya hiyo,nakuhakikishia maloveee yatakayokupa furaha mpaka uchanganyikiwe.
 
Miaka 42 si bora tu ulee wanao maana hiyo miaka tena uanze kupata stress za mume jamani??

Honey Faith, umeolewa weye? Mwenzio aliolewa mumewe akatangulia mbele za haki, kwa hiyo anajua chungu na tamu za mume; na baada ya kupima ameona upweke una gharama kuliko ndoa.

Tatizo letu ni kudhani kuwa ndoa zote ni taabu kitu ambacho sio sahihi hata kidogo.

Vv
 
Natafuta mume ambae yuko serious ani pm
Nina 42 nina watoto mume wangu amefariki miaka 5 iliyopita
Nimejiajiri, najiona mpweke sina kwa sasa nahitaji mwenza
Mkristu na anaemuogopa Mungu
Ila sihitaji kuongeza watoto.
una watoto wangapi ? unaishi wapi ? unapendelea mwenzi wa aina gani ? funguka bi mkubwa !! au ni PM
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom