mjasiliamali14
Senior Member
- Jan 5, 2014
- 147
- 21
Mm ni kijana mwenye umu wa miaka 29 mwajiriwa katika sekta ya umma natafuta mwenza wa kuishi nae kuanzia miaka 15-35 aliyetayari anipim sibagui dini wala kabira anaomba aliyesirious tuwasiliane
Mtumba???????
Aiseee....unataka mtumba tu? Mpya hutaki?
mpatie mtumba wako madam..
Aiseee....unataka mtumba tu? Mpya hutaki?
Unatafuta MTUMBA wa kuoa, umri 15-35? Haya bwana kila lakheri
Aiseee....unataka mtumba tu? Mpya hutaki?
Mtumba???????
mpatie mtumba wako madam..
Yaani used..........kwa nini hujui lakini......?
Wewe ni mtumba wa kike au wa kiume...
mtumba wakuoa! nenda karume teh!teh!
Hivi mwanamke mtumba ni yule asie na bikra? Ila ndg Mjasiliamali14 utaozea jela kwa kutaka kuoa msichana wa miaka15...take care
Mm ni kijana mwenye umu wa miaka 29 mwajiriwa katika sekta ya umma natafuta mwenza wa kuishi nae kuanzia miaka 15-35 aliyetayari anipim sibagui dini wala kabira anaomba aliyesirious tuwasiliane
Ni typing bandugu nina hakika hakuwa na maana hiyo, natumai mods watafanya the needful
BTW kama hao anaonana nao kila siku kazini mtaani na kwenye mishemishe nyingine ameshindwa kuopoa wa JF atawaweza?????
Inaweza kuwa typing error kweli mkuu ila ni sahihi kutangaza unaoa mtoto wa miaka 15? Huyu ni babu seya huyu!
Wakuuu hyo ni range isiwape shida
Hapo kaharibu na sidhani kama upstairs kuko vizuri unajua hapa hatufahamiani unaweza kutumia nguvu nyingi kuchangia post fulani kumbe mwenyewe ni chizi ndio katoka kupata nafuu