Natafuta mtumba wa kumuowa

Natafuta mtumba wa kumuowa

Mtumba kuanzia miaka 15?????
Miaka 15 amewezaje kuwa mtumba ? au maana halisi ya mtumba nini?
 
Wakuu cm ina word prediction inanipashida kuitumia mtanisamehe kwa makosa yanayojitokeza
 
Mm ni kijana mwenye umri wa miaka 29 mwajiriwa katika sekta ya umma natafuta mwenza wa kuishi nae kuanzia miaka 18-35 aliyetayari anipim sibagui dini wala kabira anaomba aliyesirious tuwasiliane
 
Watu bado wana hangover za mapilau ya bure na bia za ofa...ndio maana wanaandika thread kama wanamalizia kukata gogo choo cha kulipia....itabidi tuvumilie hapa kati kati kuelekea sherehe za mwaka mpya....tutashuhudia vituko vingi sana....
 
Mm ni kijana mwenye umri wa miaka 29 mwajiriwa katika sekta ya umma natafuta mwenza wa kuishi nae kuanzia miaka 18-35 aliyetayari anipim sibagui dini wala kabira anaomba aliyesirious tuwasiliane

Naona hiyo simu ina prediction hadi za maneno ya kiswahili...
Mkuu nunua tu nokia tochi uliyozoea.. Haya ya Jf nenda intaneti kefu tu 😎.

Some tena ulichoandika upya!
 
Back
Top Bottom