Natafuta mtu wakunipa hifadhi ya Siku 3 Mtwara

Vipi guest mkuu?
Guest ni kuanzia 7k unalala zipo zimejazana tu.Kama unataka guest ukifika mtwara chukua bodaboda halafu muelekeze akupeleke guest za hiyo bei atakupeleka but muambie iwe maeneo ya town itakuwa rahisi kwenda hapo bandari secondary.Halafu chakula usihofu mtwara chakula bei chee buku unakula unashiba bajeti ikibana unakula hata mihogo

Sent from my Infinix X623 using JamiiForums mobile app
 
Anayestahili kupewa hifadhi inafaa mkutane naye wapi?
Kwa akili hizi tusitegemee vijana critical kwa Sasa. Kwa nn mnapenda mteremko? Msaada una gharama zake Mdogo wangu. 2004 NIliwahi kwenda interview Mtwara nikiwa na 50,000/= tu nikalala Guest 5,000/= . Japo Hapo Nina ndugu wengi tu
 
Hello wana Jamvi nilikuwa naomba hifadhi ya kulala Hapo mtwara kwa muda wa siku tatu, Ninakuja huko kwa ajili ya interview Vitu kama chakula ntajitegemea au kama patakuwa na utaratibu wa kupika pia ntachangia, Nina documents zote ambazo zitakutoa shaka kabisa na ukao wangu hapo kwako Wasi wasi ni akili ivo ntajitahdi kukuonesha proof zote kuwa mimi mgeni salama, Interview inafanyikia Bandari sekondari na Employer ni TANESCO , Sijawahi kufika mtwara naomba pia anae jua gharama za Guest hapo zikoje anijuze ili option namba moja iki fail ni opt hio ya pili, Asanteni sana
Jinsia yangu ni ya kiume
Age 25
Usirudie tena huo mchezo wa kutafuta mitandaoni. Wewe dogo utaishia kuingiliwa na wanaume wenzio.
Lodge zipo Hadi 7000 unalala. Tena usirudie tena. Unakaribisha ushoga wewe.
 
Guest ni kuanzia 7k unalala zipo zimejazana tu.Kama unataka guest ukifika mtwara chukua bodaboda halafu muelekeze akupeleke guest za hiyo bei atakupeleka but muambie iwe maeneo ya town itakuwa rahisi kwenda hapo bandari secondary.Halafu chakula usihofu mtwara chakula bei chee buku unakula unashiba bajeti ikibana unakula hata mihogo

Sent from my Infinix X623 using JamiiForums mobile app
Yeye anataka "mtu" wa kumpa hifadhi, huenda mtoa mada Ana upweke so anataka kumtunuku yeyote Happ ntwara
 
Ofisi za TANESCO zipo mahala panaitwa BIMA.. Ndo pekee penye taa za barabarani (Trafic lights) kwa Mtwara nzima.... Bandari sekondari ipo umbali kama wa 1kM toka hapo Bima. Hotel iliyopo karibu zana na hapo Bandari sekondari gharama ni 25,000/- kwa 20,000/- kwa siku kwa chumba. Chakula Mtwara ghari kidogo maana almost kila kitu kinatoka nje ya Mtwara.

Best option ni kulala hotel.. hayo ya kulala kwa mtu ni magumu, unless awe ndugu au unafahamiana naye kabla...

All the best, karibu Mtwara..
Akikosa option ya kukaa kwa mtu inabidi aende guest house/lodge. Hoteli ni ghali!
 
Kwa akili hizi tusitegemee vijana critical kwa Sasa. Kwa nn mnapenda mteremko? Msaada una gharama zake Mdogo wangu. 2004 NIliwahi kwenda interview Mtwara nikiwa na 50,000/= tu nikalala Guest 5,000/= . Japo Hapo Nina ndugu wengi tu
Hiyo stage nilishaga vuka mbona! Ila elewa kuna watu wanafanyiwa favor na kuvuka vizuri tu.Uzuri kasema chaguo la kwanza likishindikana,atajump to option 2.
 
Hello wana Jamvi nilikuwa naomba hifadhi ya kulala Hapo mtwara kwa muda wa siku tatu, Ninakuja huko kwa ajili ya interview Vitu kama chakula ntajitegemea au kama patakuwa na utaratibu wa kupika pia ntachangia. Nina documents zote ambazo zitakutoa shaka kabisa na ukao wangu hapo kwako wasiwasi ni akili ivo ntajitahdi kukuonesha proof zote kuwa mimi mgeni salama.

Interview inafanyikia Bandari sekondari na Employer ni TANESCO , Sijawahi kufika mtwara naomba pia anae jua gharama za Guest hapo zikoje anijuze ili option namba moja iki fail ni opt hio ya pili.

Asanteni sana.

Jinsia yangu ni ya kiume.

Age 25
Hongera kwa kuitwa kwenye usaili. Binafsi, nashauri tafuta guest/lodge yenye gharama ambazo utazimudu na ufikie hapo. Kwa umri ulionao kuna suala la privacy nakadhalika. Mara nyingi, cheap is expensive. Kila lakheri kwenye usaili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera kwa kuitwa kwenye usaili. Binafsi, nashauri tafuta guest/lodge yenye gharama ambazo utazimudu na ufikie hapo. Kwa umri ulionao kuna suala la privacy nakadhalika. Mara nyingi, cheap is expensive. Kila lakheri kwenye usaili.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa akili hizi tusitegemee vijana critical kwa Sasa. Kwa nn mnapenda mteremko? Msaada una gharama zake Mdogo wangu. 2004 NIliwahi kwenda interview Mtwara nikiwa na 50,000/= tu nikalala Guest 5,000/= . Japo Hapo Nina ndugu wengi tu
Hivi akifunguka mengi akakwambia hata hela ya nauli anatarajia kuomba kwa mtu ambaye kamwahidi atampa siku ya mwisho ya safari yake utasemaje, kuna magumu kwenye maisha ukisimuliwa Huwezi amini utaona unaishi paradisini.
 
lala stand ya basi pale Mtwara, iyo ela kidogo uliyonayo utatumia kula
acha kupenda mteremko, sio mzuri
 
Nipo Mtwara Nina mwezi sasa, nilikuwa mgeni Kama wewe, usihofu, Ukifika shuka pale stendi mpya panaitwa mkanaledi.
Mimi naishi Shaghani ni karibu na stendi hiyo nitakupa hifadhi Nimepangishiwa nyumba nzima na ofisi utakula utalala dada wa kazi yupo. Unaweza kunipm.
 
Hello wana Jamvi nilikuwa naomba hifadhi ya kulala Hapo Mtwara kwa muda wa siku tatu, Ninakuja huko kwa ajili ya interview Vitu kama chakula ntajitegemea au kama patakuwa na utaratibu wa kupika pia ntachangia. Nina documents zote ambazo zitakutoa shaka kabisa na ukao wangu hapo kwako wasiwasi ni akili hivyo nitajitahdi kukuonesha proof zote kuwa mimi mgeni salama.

Interview inafanyikia Bandari sekondari na Employer ni TANESCO , Sijawahi kufika Mtwara naomba pia anayejua gharama za Guest hapo zikoje anijuze ili option namba moja iki fail ni opt hio ya pili.

Asanteni sana.

Jinsia yangu ni ya kiume.

Age 25
Ungekua KE ningekukaribisha hapa geto kwangu mitaa ya Magomeni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom