Natafuta MTU wa kuniongoza ktk tasnia ya uigizaji wa filamu na tamthilia

SUZANE

JF-Expert Member
Oct 26, 2010
740
500
Nawasalimuni mabest zangu na mie!!

Nimewamisijeeeee!! Waoooo......

Haya sasa, Leo mimekuja na langu la moyoni,

Nahitaji director/ nahitaji mtu atakae niongoza na kunioshesha njia ya sanaa ya uigizaji kwa ujumla, nimekua muigizaji tangu 1997 mpk Leo, cha ajabu cjawahi kutoka kivyovyote vile, cjui nimelogwa mieeee.

Ninajua sasa wakati umefika wa mimi kutoka, Naomba niunganishe na mtu mmoja anisaidie kunipeleka kwenye hatima yangu.

Asanteni sana.

Mbarikiwe
 
- Nini kilichokuvutia ukaamua kuingia kwenye hii tasnia ya filamu za kibongo?
- Una umri gani?
- Unaelimu gani?
- Sanaa umesomea?
- Una ujuzi wowote uliosomea?
- Ushawahi fanya kazi yoyote nje ya sanaa?
- Nini mtazamo wako kuhusu tasnia ya filamu Tanzania.
 
- Nini kilichokuvutia ukaamua kuingia kwenye hii tasnia ya filamu za kibongo?
- Una umri gani?
- Unaelimu gani?
- Sanaa umesomea?
- Una ujuzi wowote uliosomea?
- Ushawahi fanya kazi yoyote nje ya sanaa?
- Nini mtazamo wako kuhusu tasnia ya filamu Tanzania.
Hii no shidaa
 
Mtafute huyu jamaa.... Guru Master atakupa ushauri mzuri bure kabisa. Nliona kwenye post moja alitoa ushaur kwa waigizaji wa bongo movie na pengibe kwa waigizaji vichekesho anafaham haya mambo vizuri. Ana material ya kutosha.pia huwa anasema ni mtunzi

 
Back
Top Bottom