Anahitaji 'MTU'! Hayo maelezo kwa fundi...option nyengine ni kutengeneza website kwa cms kama wordpress, then tumia plugin kama woocommerce halafu nunua template ya app codecanyon na ku integrate na site yako.
cheki kama hii ipo full hadi admin panel
E-Commerce / Online Shop App by solodroid | CodeCanyon
Hello Guys Kama Kuna Mtu Yupo Ni Mtaalamu wa Apps za Simu Android na Ios. Naomba Anipm
Nataka kama Ikiwezekana Anitengenezee Apps Nzuri kwa Ajili ya Biashara ya Bidhaa .. Apps Kma Vile Ebay.. Jumia.. Aliexpress
Unafanya Kwa Millioni 8???Hii kitu inawezekana, nitaweka hapa ili na mwingine ambaye atahitaji asome, ninafanya hiii kazi kuanzia Tshs. 8M per platform, itategemea na features za app lakini basic inakua na:
- Products with their own categories and super categories
- User profiles, payment using m-pesa, tigo-pesa, pay upon receiving the product.
Realtime analytics mfano nini kimeuzwa leo, jana, last week, una customers wangapi, nani yupo online kwa sasa, product ipi inauza sana e.t.c.
- Customer ratings and reviews ya each product.
Custom features nyingine pia ukitaka kuongezea mfano Live Chat with customer care, realtime inventory, realtime delivery monitoring mfano inaonyesha mzigo kama umetumwa, uko wapi au estimate utafika muda gani.
Kwa ambaye yupo curious kama nina experience na hii kazi, nilishawahi fanya kazi hapa http://global.gmarket.co.kr ni one of the biggest shopping networks in Asia. Waweza pia kunicheki pm kama unahitaji demo ya internal apps ambazo nimetengeneza. Sifanyi kazi mimi kama mimi, nafanya kazi kama kampuni ambayo iko registered na ina wafanyakazi na ofisi Tanzania.
Unafanya Kwa Millioni 8???
0752353881Hello Guys Kama Kuna Mtu Yupo Ni Mtaalamu wa Apps za Simu Android na Ios. Naomba Anipm
Nataka kama Ikiwezekana Anitengenezee Apps Nzuri kwa Ajili ya Biashara ya Bidhaa .. Apps Kma Vile Ebay.. Jumia.. Aliexpress
umeona pricetag ya Graph ? mtu anaetengeneza app from scratch tegemea mamilioni ya hela atakutajia hasa kitu kikubwa kama hicho, hawa unaoona wanatengeneza app kwa hela ndogo siku zote wanatumia vitu kama nilivyovitaja hapo juu, ndio maana nikatoa alternative anaweza fanya mwenyewe. nikipata muda nitaeka tutorials ya njia mbali mbali za kutengeneza app bila kucode kwa kutumia tools mbali mbali.Anahitaji 'MTU'! Hayo maelezo kwa fundi...
Sikujua Kama Ni Gharama kiasi Hicho cha Graph hapo Sijaanza Kuuza Bidhaaa Zangu maana Ukiwapa nafasi Watu wauze Kama Kupatana utapeli Tu...umeona pricetag ya Graph ? mtu anaetengeneza app from scratch tegemea mamilioni ya hela atakutajia hasa kitu kikubwa kama hicho, hawa unaoona wanatengeneza app kwa hela ndogo siku zote wanatumia vitu kama nilivyovitaja hapo juu, ndio maana nikatoa alternative anaweza fanya mwenyewe. nikipata muda nitaeka tutorials ya njia mbali mbali za kutengeneza app bila kucode kwa kutumia tools mbali mbali.
Sikujua Kama Ni Gharama kiasi Hicho cha Graph hapo Sijaanza Kuuza Bidhaaa Zangu maana Ukiwapa nafasi Watu wauze Kama Kupatana utapeli Tu...
unawezekana kutumia hizo tools kutengeneza app itakayo badilisha taarifa ya website kuwa csv kisha Ku analyse data kwa spreadsheet itakayokuwa embedded kwenye hiyo app?umeona pricetag ya Graph ? mtu anaetengeneza app from scratch tegemea mamilioni ya hela atakutajia hasa kitu kikubwa kama hicho, hawa unaoona wanatengeneza app kwa hela ndogo siku zote wanatumia vitu kama nilivyovitaja hapo juu, ndio maana nikatoa alternative anaweza fanya mwenyewe. nikipata muda nitaeka tutorials ya njia mbali mbali za kutengeneza app bila kucode kwa kutumia tools mbali mbali.
Mkuu ulijua inatengenezwa kwa elfu kumi? Ndio ujue ipo kazi....sio unaona google play then unai download free tu...behind the scene kuna watu wametoa pesa za kutosha mpaka ikasimama!!!Unafanya Kwa Millioni 8???
Ukileta huo izi naomba uni tag!umeona pricetag ya Graph ? mtu anaetengeneza app from scratch tegemea mamilioni ya hela atakutajia hasa kitu kikubwa kama hicho, hawa unaoona wanatengeneza app kwa hela ndogo siku zote wanatumia vitu kama nilivyovitaja hapo juu, ndio maana nikatoa alternative anaweza fanya mwenyewe. nikipata muda nitaeka tutorials ya njia mbali mbali za kutengeneza app bila kucode kwa kutumia tools mbali mbali.
+ pleoUkileta huo izi naomba uni tag!
Mkuu nipo hapa tutakutengenezea chochote unatopenda iwe website, classic database, mifumo mbalimbali n.k piga 0687535650Hello Guys Kama Kuna Mtu Yupo Ni Mtaalamu wa Apps za Simu Android na Ios. Naomba Anipm
Nataka kama Ikiwezekana Anitengenezee Apps Nzuri kwa Ajili ya Biashara ya Bidhaa .. Apps Kma Vile Ebay.. Jumia.. Aliexpress
Hii kitu inawezekana, nitaweka hapa ili na mwingine ambaye atahitaji asome, ninafanya hiii kazi kuanzia Tshs. 8M per platform, itategemea na features za app lakini basic inakua na:
- Products with their own categories and super categories
- User profiles, payment using m-pesa, tigo-pesa, pay upon receiving the product.
- Realtime analytics mfano nini kimeuzwa leo, jana, last week, una customers wangapi, nani yupo online kwa sasa, product ipi inauza sana e.t.c.
- Customer ratings and reviews ya each product.
Custom features nyingine pia ukitaka kuongezea mfano Live Chat with customer care, realtime inventory, realtime delivery monitoring mfano inaonyesha mzigo kama umetumwa, uko wapi au estimate utafika muda gani.
Kwa ambaye yupo curious kama nina experience na hii kazi, nilishawahi fanya kazi hapa http://global.gmarket.co.kr ni one of the biggest shopping networks in Asia. Waweza pia kunicheki pm kama unahitaji demo ya internal apps ambazo nimetengeneza. Sifanyi kazi mimi kama mimi, nafanya kazi kama kampuni ambayo iko registered na ina wafanyakazi na ofisi Tanzania.