Natafuta mtu anayefanya kazi VodaCom

Natafuta mtu anayefanya kazi VodaCom

Jeff Albert

Senior Member
Joined
Jul 19, 2015
Posts
136
Reaction score
37
Kama kuna Mtu humu Jamii Forum anafanya kaz vodacom Nina shida binafsi naomba Ani PM Namba yake kuna Mambo nataka Tuyajenge Yatakuwa na Manufaa kwangu pia kwake.....usipuuze Ujumbe huu
 
Kama kuna Mtu humu Jamii Forum anafanya kaz vodacom Nina shida binafsi naomba Ani PM Namba yake kuna Mambo nataka Tuyajenge Yatakuwana Manufaa kwangu pia kwake.....usipuuze Ujumbe huu
Njoo PM
 
Hujasema unataka mtu wa kitengo kipi. Mimi nafanya usafi vipi nije?
 
Uongo mwwingine uko wazi, atakaye respond ni kilaza, kwan hapo ulipo hujui ofc za voda ukawaona wafanyakazi hata uwatafte humu JF
 
Mkuu Nafanya kazi Vodacom,Unataka nini hasa? Kusoma Message za Mpenzi wako? Kujua namba alizopigiwa mpenzi wako? Umeibiwa simu unataka kujua nani anaitumia? Unataka kujua Vodacom wanaingiza Tsh ngapi kwa siku? Unataka Kujua share holders? Unataka kujua idadi ya wafanyakazi? Unataka kujua transaction za M-Pesa zote na jinsi ya kudukua taarifa za watu wa M-Pesa ili ufanye uharifu? kama Moja ya Hayo ni PM ila Weka Milioni 5 Ubaoni.
 
Hapo mwisho wa siku kuna mtapeliwa na mtapeli
 
d83ccb16e3de0dbe8b58b965213e6bc0.jpg
 
Mkuu Nafanya kazi Vodacom,Unataka nini hasa? Kusoma Message za Mpenzi wako? Kujua namba alizopigiwa mpenzi wako? Umeibiwa simu unataka kujua nani anaitumia? Unataka kujua Vodacom wanaingiza Tsh ngapi kwa siku? Unataka Kujua share holders? Unataka kujua idadi ya wafanyakazi? Unataka kujua transaction za M-Pesa zote na jinsi ya kudukua taarifa za watu wa M-Pesa ili ufanye uharifu? kama Moja ya Hayo ni PM ila Weka Milioni 5 Ubaoni.
Yan hapa haukupaswa kucoment kama syo muhusika umeandika vitu nisivyohitaji by the way nshapata na ishu ipo on discussion
 
Back
Top Bottom