Mangi wa Rombo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 202
- 138
Habari!
Kama kichwa cha habari kinavojieleza, natafuta wateja wa madini ya quartz kwa mzigo wa kuanzia tani moja (1 Tonne) Quartz hizi zinapatikana kwa mfumo wa Mapande (hii ni quartz ambayo haina umbo maaalumu yani ni mwamba ambao tunaukuta wote ukiwa kioo kwa kuwa mwamba huu ni mkubwa tunavunja saiz tunayoitaka hivyo yanakuwa vipande vipande.) lakini pia tunazo japo kwa uchache quartz ya MCHONGOKO au crystal quartz (hii ni quartz yenye umbo maalumu yani imechongoka na inamigongo kama imekatwa na kisu)
Mgodi wetu unapatika Wilaya ya Gairo, Mkoa wa Morogoro.
Kama unahitaji au unafahamu mahali tunaweza pata soko la uhakika, tafadhali wasiliana nami kupitia +255712075845 au kwa Email: mobifarm.africa@outlook.com
Natanguliza shukrani zangu za dhati!
Kama kichwa cha habari kinavojieleza, natafuta wateja wa madini ya quartz kwa mzigo wa kuanzia tani moja (1 Tonne) Quartz hizi zinapatikana kwa mfumo wa Mapande (hii ni quartz ambayo haina umbo maaalumu yani ni mwamba ambao tunaukuta wote ukiwa kioo kwa kuwa mwamba huu ni mkubwa tunavunja saiz tunayoitaka hivyo yanakuwa vipande vipande.) lakini pia tunazo japo kwa uchache quartz ya MCHONGOKO au crystal quartz (hii ni quartz yenye umbo maalumu yani imechongoka na inamigongo kama imekatwa na kisu)
Mgodi wetu unapatika Wilaya ya Gairo, Mkoa wa Morogoro.
Kama unahitaji au unafahamu mahali tunaweza pata soko la uhakika, tafadhali wasiliana nami kupitia +255712075845 au kwa Email: mobifarm.africa@outlook.com
Natanguliza shukrani zangu za dhati!