Natafuta mtamba wa miezi saba mmoja.

Natafuta mtamba wa miezi saba mmoja.

pakamwam

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2013
Posts
516
Reaction score
656
Habari zakwakoop wakati huu wanajamvi ..
Natafuta mtamba wa miezi saba aina ya Friesian Au arshire anayeweza kuhimili mazingira ya dar es salaam maeneo ya mbezi mwisho( mbezi ya kimara)

Natanguliza shukrani zangu
 
Kwani lazima awe wa miezi saba tu? Nenda kwenye mashamba ya serikali ila huko wanauza wale wenye mimba tu! Pia huwa wanatolewa kwa order, cha ajabu serikali waivyo matutusa unaweza kukaa sana bila kupata ng'ombe wako. Angalia hizo bei kwenye hicho kiambatanisho. Kwa wewe wa Mbezi ukipata anayetokea Ngerengere ndiye atakufaa maana hali ya hewa zinakaribiana kama siyo kufanana. Usilogwe kuchukua wa Kitulo itakubidi umfungie feni kabisa!
 

Attachments

Bro asante kwa kutuhabalisha pia Bei za mitamba toka huko serikalini
 
Asante sana ndugu yangu kwa mwongozo huuu. Mungu akubariki sana. Nategemea jumamosi kuanzia safari ya kwenda kutafuta gerengere
Barikiwa sana
Bro asante kwa kutuhabalisha pia Bei za mitamba toka huko serikalini
Kwani lazima awe wa miezi saba tu? Nenda kwenye mashamba ya serikali ila huko wanauza wale wenye mimba tu! Pia huwa wanatolewa kwa order, cha ajabu serikali waivyo matutusa unaweza kukaa sana bila kupata ng'ombe wako. Angalia hizo bei kwenye hicho kiambatanisho. Kwa wewe wa Mbezi ukipata anayetokea Ngerengere ndiye atakufaa maana hali ya hewa zinakaribiana kama siyonana. Usilogwe kuchukua wa Kitulo itakubidi umfungie feni kabisa![/QUOTE
 
Asante sana ndugu yangu kwa mwongozo huuu. Mungu akubariki sana. Nategemea jumamosi kuanzia safari ya kwenda kutafuta gerengere
Barikiwa sana
Asante mkuu, ukifika huko utupe mrejesho ya kile ulichokikuta, maana serikali nao hawajambo kwa kujigamba!!
 
Back
Top Bottom