Mediocrist
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 1,709
- 993
Indeedha ha ha huyu atakuwa kamaliza chuo ametafta kazi na ametuma cv nyingi hajaitwa kokote sasa ameanza kuogopa na kuona hajui kuandika cv ata akigogle hata elewa na hata amin kuwa ni format nzuri acha aliwe ataacha baada ya kutuma hata hyo na bado asipata kazi apo ndo atakuja kuamin time and chance happen to them all.