Tenzi za rohoni au?. Mana mm kwa njaa hii nachora mpaka mistari ya kigumu, taarabu mpaka rege. UnalipajeNatamfuta mtaalamu wa kuandika tenzi ya kusifu….yenye changamoto ndani yake. Maelezo zaidi Dm
Kazi ndogo sana iyo, unalipaje mkuu?Natamfuta mtaalamu wa kuandika tenzi ya kusifu….yenye changamoto ndani yake. Maelezo zaidi Dm