Liborio
Member
- Feb 7, 2017
- 69
- 37
Nilikuwa ninatafuta mtaalamu wa ku draft cv ikaonekana kwenye mwenekano mzuri...
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuwa ninatafuta mtaalamu wa ku draft cv ikaonekana kwenye mwenekano mzuri...
Sent using Jamii Forums mobile app
kenge wa blue kbsa muraaa mamboz ya wachaga hayo...una sh ngap?
Aina yoyote ile ambayo inaweza kuvutia..Aina gan ya cv unataka?maana kuna format tofaut za cv
Duuuh
Kumbe upo siriazi
+255718599898
Mcheki huyu mtaalamu.
Haaahaaaaa eti Mungu alishampenda...Mkuu angalia na muda Tangu Aug,2017 inawezekana mtu unayemshauri leo Mungu alishampenda au alishapata/alishaachana na mambo ya Cv/anakadula kake kwa sasa.
Haaahaaaaa eti Mungu alishampenda...
nimemtumia sms kwenye hiyo namba na imekuwa delivered lakini hajajibu mpaka sasaHahah kweli mkuu ila yupo bado nimeona last seen yake ni leo Mungu ampe uhai mrefu
Nilikuwa ninatafuta mtaalamu wa ku draft cv ikaonekana kwenye mwenekano mzuri...
Sent using Jamii Forums mobile app
ha ha ha huyu atakuwa kamaliza chuo ametafta kazi na ametuma cv nyingi hajaitwa kokote sasa ameanza kuogopa na kuona hajui kuandika cv ata akigogle hata elewa na hata amin kuwa ni format nzuri acha aliwe ataacha baada ya kutuma hata hyo na bado asipata kazi apo ndo atakuja kuamin time and chance happen to them all.Acha ubwwege hebu google uchague format unayoitaka.. yaani unataka kuliwa hela hivi hivi kijinga?