Natafuta msimamizi wa biashara

Natafuta msimamizi wa biashara

kadefeghe

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2012
Posts
457
Reaction score
672
Habari wanajukwaa natafuta kijana ambaye atakua msimamizi wa biashara ili tushirikiane katika kujenga kampuni yangu ambayo kimsingi bado ni changa.

Mimi ni mwanaume na nafanya kazi ya kampuni nyingine mbali kidogo na mjini na kama kijana najaribu kuwa mjasiriamali nje ya mfumo wa ajira.


Location mbeya mjini preference aliyesomea marketing au mjanja mjanja anayejua namna ya kutafuta pesa jinsia awe mwanamume kama yeyote aneweza kuwa ready tuwasiliane ili tuone kitu cha kufanya kwa contact iz gulliesexpeditions@gmail.com
 
Habari wanajukwaa.Natafuta kijana ambaye atakua msimamizi wa biashara ili tushirikiane katika kujenga kampuni yangu ambayo kimsingi bado ni changa.Mimi ni mwanaume na nafanya kazi ya kampuni nyingine mbali kidogo na mjini na kama kijana najaribu kuwa mjasiriamali nje ya mfumo wa ajira.
Location..Mbeya mjini
preference.aliyesomea marketing au mjanja mjanja anayejua namna ya kutafuta pesa
sex: awe mwanamume
kama yeyote aneweza kuwa ready tuwasiliane ili tuone kitu cha kufanya..kwa contact iz gulliesexpeditions@gmail.com
0756835650 tuwasiliane

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona husemi biashara gani? Watu mnapenda kusumbuliwa kwenye simu wakati mara nyingi hampokei
 
Mtego huu.....

AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZA KWAKO.........
 
samahani wadau kwa kuchelewa kujibu comment zenu ila kwenye email nlijaribu kuzijibu.kampuni inadeal na real estate developing ,pamoja na construction sometimes.bt ndo inaanza.na nlisema naprefer mtu ambaye yuko mbeya na ni mwanaume.
 
Back
Top Bottom