Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,618
- 9,609
Natafuta msichana anayeweza kufanya kazi za saloon kama kusuka, kuset, kushonea na kazi zingine za saloon. Awe na umri kuanzia miaka 20, awe na bidii katika kufanya kazi na awe anaishi maeneo ya karibu na chanika kwa sababu saloon ipo chanika karibu na chuo cha biashara na ugavi ili kupunguza gharama za usafiri na kama atatokea mbali basi awe tayar kujigharamia nauli. Vifaa vyote vya saloon ni kwa gharama zangu. Kama upo tayar au una ndugu anayeweza kufanya kazi hii vizur naomba tuwasiliane kwa namba 0652884040