Natafuta msichana aliye serious na maisha

Natafuta msichana aliye serious na maisha

ABB

Member
Joined
May 6, 2012
Posts
56
Reaction score
41
Heshima zenu wakuu:

Ninatafuta msichana aliyeserius na maisha , ikiwezekana tutaoana. Awe mwenye umri kati ya 21-27. Kwa urahisi wa kuonana, akiwa anatoka kanda ya nyanda za juu kusini, moro na Dodoma itakuwa poa zaidi. Nina miaka 29.

Kwa aliye serious tu 0762774511.
 
Wote watakuja watasema wako serious na maisha,kila la kheri na hili zoezi!
 
Mkuu inasemekana wewe unaogopa sana kutongoza totoz ana kwa ana ndo mana umekimbilia kwa mtandao kurusha jiwe gizani.Mimi sijui ila wenzako wanakusema hivyo.
 
Heshima zenu wakuu:

Ninatafuta msichana aliyeserius na maisha , ikiwezekana tutaoana. Awe mwenye umri kati ya 21-27. Kwa urahisi wa kuonana, akiwa anatoka kanda ya nyanda za juu kusini, moro na Dodoma itakuwa poa zaidi. Nina miaka 29.

Kwa aliye serious tu 0762774511.

Weka picha yako, umri wako, kazi yako, mshahara sh ngapi, unanyumba ngapi na wapi, magari mangapi na aina gani ambatanisha na cheti vipimo vya vvu, kopi ya hati za nyumba, kopi ya kadi za gari ulizonazi kopi za hatu za viwanja ulivyo bavyo.
Ukifanikisha hayo hata ukimtaka wema, lulu wolper au demu yoyote unachukua kiulaini, ukishindwa hayo kama wewe mkiristo nenda kwenye kwaya utapata tu
 
Weka picha yako, umri wako, kazi yako, mshahara sh ngapi, unanyumba ngapi na wapi, magari mangapi na aina gani ambatanisha na cheti vipimo vya vvu, kopi ya hati za nyumba, kopi ya kadi za gari ulizonazi kopi za hatu za viwanja ulivyo bavyo.
Ukifanikisha hayo hata ukimtaka wema, lulu wolper au demu yoyote unachukua kiulaini, ukishindwa hayo kama wewe mkiristo nenda kwenye kwaya utapata tu
Umri wangu upo, mara nyingi aliyeserious haitaji kusikia vyote. Ukiona anataka vyote hivyo, ujue huyo sio mke bali ni mchepuko.
 
Mtu kuwa serious na maisha ndo inakuaje hiyo.Naomba ufafanuzi kidogo
 
Mtu kuwa serious na maisha ndo inakuaje hiyo.Naomba ufafanuzi kidogo
Unapenda kufanya maendeleo na mwenzio kwa faida yenu,na mengine kama hayo. Unaweza kuni PM tukawasiliana zaidi
 
Unapenda kufanya maendeleo na mwenzio kwa faida yenu,na mengine kama hayo. Unaweza kuni PM tukawasiliana zaidi

Nilitaka tu kujua hiyo sentesi yako ina maana gani.Ila mie ni mke wa mtu
 
Umri wangu upo, mara nyingi aliyeserious haitaji kusikia vyote. Ukiona anataka vyote hivyo, ujue huyo sio mke bali ni mchepuko.
ukiona hataki vyote hivyo ujue kashachoka maisha yupo teyari kwenda na yeyote yule mradi asizeeke bila na yeye kuitwa mke. Subiri uone.

Mwanamke kuzaliwa na baba masikini ni bahati mbaya lakini kuolewa na mwanaume masikini upu.mb.avu wake mwenyewe.
 
Jamani wana JF nashukru nimepata mke tayari, nawashukruni sana waliojitokeza tukazungumza. Mungu azidi kuwabariki.
 
Weka picha yako, umri wako, kazi yako, mshahara sh ngapi, unanyumba ngapi na wapi, magari mangapi na aina gani ambatanisha na cheti vipimo vya vvu, kopi ya hati za nyumba, kopi ya kadi za gari ulizonazi kopi za hatu za viwanja ulivyo bavyo.
Ukifanikisha hayo hata ukimtaka wema, lulu wolper au demu yoyote unachukua kiulaini, ukishindwa hayo kama wewe mkiristo nenda kwenye kwaya utapata tu

Daaaaah hata C.V haiandikwi hivi.....Lol.umeniacha hoi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom