Natafuta mshirika wa kibiashara - kuuza bidhaa kwenye minada

Ziltan

JF-Expert Member
Aug 20, 2011
2,649
6,832
Habari JamiiForum,

Ninalo wazo la muda mrefu kuhusu biashara ya kuuza bidhaa kwenye minada au maeneo yaliyochangamka.

Sina mtaji kwa sasa ila nina gari dogo succed kwa ajili ya kubeba bidhaa za kuuza minadani kama nguo, vyombo nk.

Binafsi nina nyumba mbili za kawaida ila nimejaribu kuuza moja nipate huo mtaji, hawafiki bei.

Sasa basi naomba kwa mwenye mtaji au anayeweza kunidhamini tuchekiane PM ili tuweze kuweka sawa jambo hili.

Binafsi ninajiamini na ninaelewa sana kuhusu swala la uaminifu na uadilifu zaidi tutaingia makubaliano hata ya kisheria kuhusa share yetu mradi kazi ifanyike, pia kama kuna sehemu au kiwanda au mtu anayeweza nidhamini naomba msisite kunielekeza ili niweze kuanza hii project mara moja.

Pia kama kuna wazo lingine la kuniwezesha kufanya kazi kwa kutumia hii gari yangu, naombeni mawazo wakuu.

Asanteni
 
Mkuu wanakuja

Kwa mtazamo wangu unaweza kuingia benk kuchukua mkopo wa kiasia unacho hitaji na ukaweka nyumba bondi na ukaweza kutimiza kiu ya Moyo wako.

Lakini pia unaweza kuuza hata gari ukapata mtaji na ukaweza kuanza maana nyumba na gari vyote ni asset kwaajili ya kutatua matatizo yetu.
 
Mkuu wanakuja

Kwa mtazamo wangu unaweza kuingia benk kuchukua mkopo wa kiasia unacho hitaji na ukaweka nyumba bondi na ukaweza kutimiza kiu ya Moyo wako

Lakini pia unaweza kuuza hata gari ukapata mtaji na ukaweza kuanza maana nyumba na gari vyote ni asset kwaajili ya kutatua matatizo yetu
Benki hawatoi mikopo ya kuanzisha biashara badala yake wanatoa mikopo ya kuendeleza biashara, Mkuu uza gari uanzishe biashara baada ya miezi sita nenda benki na nyaraka zako za nyumba utapata mkopo kwa sababu tayari bishara unayo. Ni lazima uwe na biashara kwanza, huwezi kupata mkopo wa biashara wakati biashara yenyewe bado hujaanza.
 
Benki hawatoi mikopo ya kuanzisha biashara badala yake wanatoa mikopo ya kuendeleza biashara, Mkuu uza gari uanzishe biashara baada ya miezi sita nenda benki na nyaraka zako za nyumba utapata mkopo kwa sababu tayari bishara unayo. Ni lazima uwe na biashara kwanza, huwezi kupata mkopo wa biashara wakati biashara yenyewe bado hujaanza.
Sawa mkuu nimekuelewa mhusika akija anaweza kupata jibu cha kufanya
 
Habari JamiiForum,

Ninalo wazo la muda mrefu kuhusu biashara ya kuuza bidhaa kwenye minada au maeneo yaliyochangamka.

Sina mtaji kwa sasa ila nina gari dogo succed kwa ajili ya kubeba bidhaa za kuuza minadani kama nguo, vyombo nk.

Binafsi nina nyumba mbili za kawaida ila nimejaribu kuuza moja nipate huo mtaji, hawafiki bei.

Sasa basi naomba kwa mwenye mtaji au anayeweza kunidhamini tuchekiane PM ili tuweze kuweka sawa jambo hili.

Binafsi ninajiamini na ninaelewa sana kuhusu swala la uaminifu na uadilifu zaidi tutaingia makubaliano hata ya kisheria kuhusa share yetu mradi kazi ifanyike, pia kama kuna sehemu au kiwanda au mtu anayeweza nidhamini naomba msisite kunielekeza ili niweze kuanza hii project mara moja.

Pia kama kuna wazo lingine la kuniwezesha kufanya kazi kwa kutumia hii gari yangu, naombeni mawazo wakuu.

Asanteni
Uko pande gani mkuu?
 
Kwa idea yangu,
gari ndio jembe au kitendea kazi kikubwa
 
Safi sana mkuu...ningekuwa vizuri tungefanya kitu.......binafsi napenda sana wanaothubutu...

Naamini utapata mshirika mkafanya biashara
 
Kunogesha mjadala: Umefanya utafiti kuhusu hiyo biashara? Huoni ni vizuri kama una uzoefu au umefanya utafiti wa kina kuelezea kwa undani ili wafadhali au wana-share wavutiwe?
nina uzoef wa kuuza nguo za mitumba,
kazi naifaham,
sehem za kupata mali kwa bei nafuu nazfhm,
krbn
 
Mkuu hiyo gari yako ina ukubwa gani?mbona zipo kampuni huwa zinakopesha kwa kutumia kadi ya gari tu hiyo ndio njia rahisi
nina uzoef wa kuuza nguo za mitumba,
kazi naifaham,
sehem za kupata mali kwa bei nafuu nazfhm,
krbn
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom