Mimi mkulima nina trekta niko wilaya ya Kilombero kijiji cha Miwangani , mshirika atatoa pesa ya kukodi shamba tuanze na ekari 10 wakati wa Kiangazi sehemu za mabonde kuna maji yanaivisha mpunga mwezi wa Novemba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app