Natafuta msaada wa fedha za kilimo

kitumbotala

JF-Expert Member
Aug 6, 2015
516
620
Habari zenu ndugu zangu, naomba msaada kama mtu anaufahamu na wafadhili wa mambo ya kilimo, kama naweza kupata wafadhili nahitaji mtaji na hali yangu sio nzuri kiuchumi nataka kulima kilimo cha umwagiliaji,
Lakini tutakubaliana baada ya mavuno na faida tutatoa na kurudisha mtaji na faida inayobakia tunagawana.
 
Habari zenu ndugu zangu, naomba msaada kama mtu anaufahamu na wafadhili wa mambo ya kilimo, kama naweza kupata wafadhili nahitaji mtaji na hali yangu sio nzuri kiuchumi nataka kulima kilimo cha umwagiliaji,
Lakini tutakubaliana baada ya mavuno na faida tutatoa na kurudisha mtaji na faida inayobakia tunagawana.
Kilimo kipo wapi?
 
Back
Top Bottom