Sireous kaka ctanii nko dar.
We niamini mm mkuu!
Sireous kaka ctanii nko dar.
Udalali mpaka huku, duh! Safi lakn, nitakutafuta baadae unitafutie wa vigezo vyangu!
soma kwanza acha mapenzi wew hata degree hujamaliza unakimbilia kuoa? duh
wabongo bhana sijui wanafikilia kwa kutumia nini
Roho tu wangu we unataka nn cha ziada pesa au?
sasa mchumba roho si na mie nnayo
unamiliki nini au roho tu???
huyu mwanachuo huyu mmh kuna hatari ya kupigwa mizinga ya vitini na hela za fotokopi hapaChukua namba yake ya simu, ukambikiri!!!!
changamkia fursa.
Wadau mi ni kijana wa mwaka wa 2 udsm edu.nna miaka 25 natafuta mpenz wa kuoa sifa ni awe mnene,mweupe na mwislam kat ya miaka 20 na 24 ajtokeze tafadhari.No.0652996465.
unamiliki nini au roho tu???
unamiliki nini au roho tu???