chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 21,359
- 27,739
ukikosa kabisa nambie nijitolee
Ujitolee kwani we sadaka?
Mcheki mwenzio PM yupo serious ujue..
ukikosa kabisa nambie nijitolee
Ujitolee kwani we sadaka?
Mcheki mwenzio PM yupo serious ujue..
Bado nasubiri jibu la ule mtongozo wangu kwako..
Bado nakufikiria, si unajua naogopa kuchezewa....!!!!
The last thing i can do, ni kukuchezea..
Ukishakuwa tayari tu niambie nije kujitambulisha ukweni.
Bado natakiwa kusubiri sana?
Miaka 5 tu, si unaenda kusomea udokta au umeahirisha?
ha ha ha ha uuuh haya bana.....ukigraduate uje ujitambulishe!!!!Ndo nakaribia kumaliza,
Mwakani na-graduate..
Ni kwa nini nyie wanaume imekuwa ikifika usiku wa saa 2:30-4:00, munaaza kuandika thread za kutafuta wachumba.
kama mumeshidwa kuhimili miehemuko yanu na kushidwa kupiga punyeto
joon hapa kariakoo kwa madada poa watawasaidia, lakn jf munajisumbua tu.