Natafuta Mpenzi

Natafuta Mpenzi

makua

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2013
Posts
208
Reaction score
40
Mimi ni mvulana wa miaka 26.
Nina elimu ya kawaida, Shughuli zangu ni Biashara na ufundi.
Ni mkristo,natamani kuoa ila bado sijampata mwenye target kama zangu that way nko hapa kutafuta mwenye target za kuolewa miez 6 baada ya Kufahamiana na awe tayari kushirikiana nami kujenga familia bora yenye furaha.
Mwanamke mwenyesifa hizi nichek PM au acha email yako kwa mawasiliano.

1. Aji heshimu pia aheshimu wengine

2. Asiwe mvivu ( awe mwenye kujishughulisha), awe mfanya kaz ( mjasiria mali) au awe anasoma college/university

3. Dini yeyote ila awe anaishi kulingana na misingi ya kidini

4. Awe kabila lolote, haijalishi pia asiwe mwenye tamaa za kijinga.

5. Awe na mapenz ya kweli pia awe tayar kupima HIV ikibid hatuto sex hadi tunaoana.

6. Rangi yeyote, mrefu wa wastani pia awe mchangmfu kwa watu wengine.

Kwa mwenye kuhitaji plz nifate PM nkupe mawasiliano na pia upate maelezo zaidi kuhusu hitaji langu.
Niko serious na hili.
 
Heheheheee.. Thats the sperm that won.
Lol
 
Hahaaaaaa
Ikiwa hana ntaangalia njia mbadala, najua ataniruhusu kuchepuka ilimrad tuende sawa

acha kununua mbuzi ndani ya gunia shemeji....
kuna shemeji angu mwingine aliuziwa meno ya tembo yamefungwa kishakabidhiwa kapeleka mzigo heeeee kumbe ni pembe za ng'ombe!!!!
funua uone kwanza
 
Hivi huwa hamna mahusiano huko makazini, kanisani, mtaani
 
Hivi huwa hamna mahusiano huko makazini, kanisani, mtaani

Mahusiano yapo tatizo wanakosa sifa hizo nazozitaka ndio maana nimekuja hapa labda nitapata mwenyesifa nizitakazo.
 
acha kununua mbuzi ndani ya gunia shemeji....
kuna shemeji angu mwingine aliuziwa meno ya tembo yamefungwa kishakabidhiwa kapeleka mzigo heeeee kumbe ni pembe za ng'ombe!!!!
funua uone kwanza

Hahahaaaaaaa, sipendi kujenga mnyaroro shemeji
 
kwani sahv umefikisha wangapi

Niliye niacha alikua ni wa kwanza, na sikufikiria kutafuta mwingine hadi nimekuja kwa JF nione kama nitafanikiwa kupata mwanamke wa maisha.

Shemeji huishiwi maswali!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom