shamukwetu
Member
- Mar 21, 2014
- 10
- 0
Naishi mwanza elimu yangu ni chuokikuu natafuta msichana mrembo na msafi awe na umri kati ya miaka 18-24 alieenda shule lakini pia awe ni mtoto wa kitajiri mkristo tuma ujumbe na picha via sbi.interco@gmail.com
Mtaani kwenu hakuna watu?
Kanisani kwenu?
Kijijini kwenu?
Trust me kizazi cha miaka kumi ijayo watu wengi watakuwa wanashuhudia wamekutana online
Jukwaa sahihi ni love connect sio hapa
Hahahahaha umenena mkuuUnatafuta mchumba au sponsor!?