Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,027
- 52,501
asante nawe piaKweli kabisa nilitaka niandike zaidi ya uliyosema nikaamua kuwa kimya tu...usiku mwema kwako!
wewe upo single au occupied but available?
asante nawe piaKweli kabisa nilitaka niandike zaidi ya uliyosema nikaamua kuwa kimya tu...usiku mwema kwako!
asante nawe pia
wewe upo single au occupied but available?
ngoja niconferm kama ni yeye kwanza?available ila naona ushatangaza nia kwa Kumwembe...mapenzi ya kushidana sitaweza! futa thread ile ndo tuulizane haya maswali upya..
Kwani wewe ni mwanamke?,kasema anataka wife material halafu dume zima linasema "I AM HERE MR"I'm here Mr
ngoja niconferm kama ni yeye kwanza?
ahahaaaa utakuwa next possible catch!stay tuned you will never regret mr mentor!unajua pa kunipata...ukishagundua sioye!
halafu siku hizi nimependeza yaani hadi boss wangu kaniambia eti niwe dereva wake ila najua ni wivu tu hataki kuniacha mahali !
Huyo boss wake anajua hadi siku zake, amempangishia nyumba, anamnunulia pichu sasa anataka kuwa dereva wake! Huyo ni zaidi ya boss amenikatisha tamaa.huku ni kutiana majaribu dada!
Huyo boss wake anajua hadi siku zake, amempangishia nyumba, anamnunulia pichu sasa anataka kuwa dereva wake! Huyo ni zaidi ya boss amenikatisha tamaa.
halafu siku hizi nimependeza yaani hadi boss wangu kaniambia eti niwe dereva wake ila najua ni wivu tu hataki kuniacha mahali !
Sasa vipi njoo tujenge Maisha...nilifikiliaa unatutaa mke kumbee watafutaa mpenzi ok nenda tandika kwa WAHAYA utawakutaa wapoo utachaguaa ..Habari,
Mimi ni kijana wa Kitanzania Government Servant, ninahitani mwanamke umri 23-30 HIV Negative, Superstitious Negative nikipata mnene mwenye mwili itakuwa safi, kwa aliyetayari.
We naeeeeeeee. Umekuja mbioooo kumbe mpenzi anaetakiwa ni wa kike.I'm here Mr
sijakuelewa mkuuMiss Natafuta kulikoni tulishakuaga na wengine walishaanza hitma vipi tena mbona waonekana online au ndio ushauza User yake yenye washabiki wengi kama wale wasnanii Diamond na Kibah
Ulisema umeaaga jf hutachat tena?sijakuelewa mkuu