Hi! naitwa jaffery adam, ninaumri wa miaka 21. natafuta mpenzi wa kike wa kudumu naye na baadae nifunge nae ndoa. awe na miaka 19-23 awe mwembamba kiasi. hatakama hana kazi,, awe na upendo wa kweli.ukiwa tayari unanipata kwenye no. 0758082840 ukipga jitambulishe
hebu wawekee picha yako mkuu usije kua andunje au kipipa tu. by the way kila la heri
hey hapo photo yngu
Hi! naitwa Jaffery Adam, ninaumri wa miaka 21.
Natafuta rafiki wa kike, awe na miaka 19-23 awe mwembamba kiasi. hatakama hana kazi, awe na upendo wa kweli.
ukiwa tayari unanipata kwenye no. 0758082840
Ukipiga jitambulishe
Mpenzi huwa hatafutwi anakuja automatically na katika umri wako huo bado sana lazima upitie broken heart ndio ujue mapenzi ni kitu gani
hey hapo photo yngu
Munkari ahahahha mtu anataka mke hata picha haweki ila yeye anataka za ao anaowatafuta,,,iani kweli humu hatuonani waweza mdhania mtu ndivo sivoHehee kipipa? Mmmmhh nakumbuka kuna mtu alileta Uzi humu eti ..
Wanaotafuta mamanzi humu hawatazamiki Mara mbili..hehee sijui nani yuleee!!!!??.sijui alikuwa anamaana gani loh!!!
hey hapo photo yngu
Dah..hawa vijana wana tafuta majukumu wahonge ada watie wazazi hasara. Hii picha na pos yake hajui hatari yake, kama mzazi wake ni member humu atakiona na mtema kuni leo.Kaweka picha umemuona? Veri hendisamu!!!!
Kaweka picha umemuona? Veri hendisamu!!!!
Dah..hawa vijana wana tafuta majukumu wahonge ada watie wazazi hasara. Hii picha na pos yake hajui hatari yake, kama mzazi wake ni member humu atakiona na mtema kuni leo.
Sanaaa yani so cute loh!!!