Natafuta mpenzi wa kike

Natafuta mpenzi wa kike

Anatafuta sukari mama huyo si bure!!!!
Sijui hawa vijana wa kileo watafika wanapoelekea kweli? Hawajui kuna magonjwa ? sasa huyu kijana badala ya kusoma anatafuta mpenzi?? Nimesikitika sana ,...
 
Sijui hawa vijana wa kileo watafika wanapoelekea kweli? Hawajui kuna magonjwa ? sasa huyu kijana badala ya kusoma anatafuta mpenzi?? Nimesikitika sana ,...

Si unajua tena atakwambia its free country loh
 
Daah!! hizi AGE zinasumbua sana... mdogo angu usiarakie maisha bhana kua mpole...
 
teh teh teh!! mbna majanga every one ana views zake bt am stll concious and nafah nnacho fanya
 
Hivi huna sound mpaka unatumia social network mkuu!!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hi! naitwa Jaffery Adam, ninaumri wa miaka 21.

Natafuta rafiki wa kike, awe na miaka 19-23 awe mwembamba kiasi. hatakama hana kazi, awe na upendo wa kweli.

ukiwa tayari unanipata kwenye no. 0758082840

Ukipiga jitambulishe
Hivi kwanini awe mwembamba, au unataka muendane:what:

hebu wawekee picha yako mkuu usije kua andunje au kipipa tu. by the way kila la heri
Hahahha, Andunje tenah!!

hahahahaaa unaangali they way mtu alivyo!! kwan hujui wembmb wa reli train inapita
Aah, wapii hata reli ina wembamba maalum.
Kama wembamba wako umezidi jaribu kujiboost kidogo.

Dah..hawa vijana wana tafuta majukumu wahonge ada watie wazazi hasara. Hii picha na pos yake hajui hatari yake, kama mzazi wake ni member humu atakiona na mtema kuni leo.
Hahahh, hata kufikiria hayo kwake ni mzigo mkubwa,
Kwanza sijui anafanya nini shuleni, au hata kama anasoma,
Muda wa mapenzi sijui anaupatia wapi!?

teh teh teh!! mbna majanga every one ana views zake bt am stll concious and nafah nnacho fanya
Mmmh!!
Consious!!???
Ungekuwa na mind consious ungezingatia masomo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom