Natafuta mpenzi baadae awe mchumba

Natafuta mpenzi baadae awe mchumba

Umri wangu ni miaka 23 na ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu katika chuo kimoja hapa nchini.Ni mwanaume mchapa kazi na nwenye upendo wa dhati.Msichana nae muhitaji awe mdogo kiumri kiasi kuliko Mimi.
Kwa msichana yeyote mwenye sifa niliyoitaja tafadhari naomba ani PM
Soma kwanza ww,
 
Jamani wana JF tuache masihara Mimi npo serious katika hili..kumbukeni kuwa wapenzi hukutana popote na ni M/Mungu ndo huwakutanisha!!!!!
 
Asee huyu bwana mdogo akipata na mm nataka pia kama issue zenyewe ni simple simple hivi
 
Mwanachuo, kama nakuona room in pazia, sabufa na jagi la Tokyo....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom