Ipeleke Kwa Fundi Wa computer kuliko wote yupo hapo uhuru roundabout, anaitwa Pascal Ila Sasa bei zake zimechamka, hata mafundi unaohafamu wewe huwa wakishindwa wanampelekea yeyeMtaalam niliyempelekea anasema hapo nilipozungushia ndio pana tatizo. Kwamba hakuna namna ya kawaida ya kupafungua kwa ajili ya kupasafisha, na tz hii hakuna mashine ya kufungua hapo. Kama kuna guru wa hii kitu anijuze View attachment 941816
Nikiulizia tu pascal nampata? Mawasiliano je
Namba nilipoteza Ila ukifika hapo ulizia Pascal Kwa hao wanauza vifaa mbalimbali computer kama adapter watakuelekeza utapandisha ngapi gorofa ya kwanza juu, utupe mrejesho ukifika hukoNikiulizia tu pascal nampata? Mawasiliano je
Mimi ninauza father body!