Natafuta mme

KAKA INAWEZEKANA YUKO SERIOUS wanawake wamekuwa wengi sana,pia wanaume domo zege wamekuwa wng acha watafutane
Ni kweli usemalo..lakini sio kwa mwanachuo au aliyepitia chuo..angalia vigezo vya mtu anaemtaka..kwanza umri umeenda..pili mwanaume yeyote bila kujali kazi yake ila awe na kazi,elimu nayo eti ajue walau kuandika....hii ni wazi kabisa kuwa binti kashaona maji yamezidi unga anatafuta pa kufia....shtukeni xana wanaume.
 
Mkuu umenichekesha sana! Huo umri unaunaodai umeenda umeendaje? Rejea post yangu uone umri wangu!. Nimeona ndugu zangu wameoana bila kujal level ya elimu na wanaishi maisha yenye furaha sana hata zaidi ya hao wanaojali level kubwa ya elimu. Mtu anaejielewa sio lazima awe kasoma sana.
 
humu sitaki nataka wengi,ngoja apate mume mtoe macho hapo,haina kipimio ujue imeenda maili ngapi?lol😱😱😱
 
Weka picha yako au jielezee ulivyo
 
Mi najua kuandika, kuhesabu na kuandika na nina mtoto mmoja tu karibu
 
Kwanza eka picha yako tukuone mana xku izi mpaka vikongwe nao wanataka kuolewa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…