Natafuta mme



HAHAHAHAHAHHAHAHAHAHHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAH MSIMPE WAKATI MGUMU KATOA MASHART MALAINIIIIII WEWE TU ANGALAU BASI UJUE KUSOMA NA KUANDIAKA

AISEE BABA JES AKIKUSIKIA SHAURI LAKO

 
Nipo mimi,,,,Maana ajira hakuna,,ila Degree ya kitaa unayo achana nayo hiyo ya kwenye makaratasi,,
 
Mkuu jaribu kuacha mawazo chakavu, mtu kutaka kuolewa sio kwamba kaboronga chuoni, mi nadhani mme ni jambo heri tu. Harafu nimesema nataka mtu mwenye kujipatia kipato chake.
Kujipatia kipato chake...ndio kutakuwa cha kwenu....
 
Acheni tamaa, upo chuo hamna wanafunzi wenzio hapo wakufunga nae pingu za maisha kweli? Basi unamatatizo we msichana
 
Futa kigezo cha kusoma na kuandika.Icho kigezo peleka Facebook.JF Ni Home ya Great Thinkers

Jalibu kujielezea pia na wewe ulivyo na utuambie kwa nini vijana awakufati apo chuo
Namanisha sijal level ya elimu mkuu.
 
Hiiii
Mkuu sasa mbona unatuchomea wenzio!!?
Tuachie bahati yetu bhana
 
Nini maana ya kusoma, unasoma ili uwe na maisha mazuri kupitia elimu uliyoipigania, sasa baada ya kuipata hiyo elimu mtu anatakiwa kutafuta kazi kwanza au kuolewa kwanza. Acha mawazo mfu.
Mkuu kama uko tayari wee njoo tuyajenge, sasa nitatafuta kazi mpaka lini. Mambo magumu ukitegemea kuajiliwa tu, watu tunajiajili wenyewe kwa kazi ndogo ndogo kwanza kisha mengine yanafuata.
 
Jamani nifundisheni jinsi ya kupm sifa zoote ninazo
 
Maliza chuo, tafuta biashara au kazi, jenga nyumba yako au nunua kiwanja. .ndiyo utafute mume. ...wanaume wa sikuhizi hawataki mizigo. ...
 
Njoo kwangu nina 25 yrs na degree huo umri uliotaja hapo mwanaume ameshaoa sio rahisi labda kumpata aliyeachika nipm kabla kupatwa kwa jua tuyajenge fasta
 
miaka 31 ni ngumu kuwapata weng wameshaoa wataishia kukuchezea na kukufanya mke wa pili ila tafuta vjna wanaotaka kuoa pia, km utakuwa tayar me nipo sm 26 yrs
 
Like hii post kama wewe ni
1. Slim au average weight
2. Good looking & presentable
3. Fashionable

Nitakuja pm ya tabia tutayajua mbeleni
 
Unaonekana uko serious... Nami nahitaji mtu kama wewe ila umri u anitoa... Kama uko tayari kwa mtu wa miaka 28 tupange fasta nitoe mahari
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…