Olmost
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 337
- 439
Bashite kasema mliotelekezwa wote muende kwake awape huduma, changamkia fursa binti,Mie ni msichana na umri wa 23 pia nina mtoto mmoja ana miezi 6, nimezalishwa tu na mtu alonizalisha hanitaki na isitoshe ameoa mwanamke mwingine. Kwa hiyo atakae kuwa tayari kunioa na tuishi kwa amani nipo tayari.